MAJALIWA AWASILI MAURITIUS KUMWAKILISHA JPM KATIKA UZINDUZI WA JUKWAA LA KIUCHUMI BARANI AFRIKA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:41 AM
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akiogozwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw.
Vishnu Lutchmeenaraidoo wakati alipopokelewa kwenye uwanja wa ndege
wa Kimataifa wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha
Rais John Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa
mjini Port Luis kuanzi Machi 20, 2017. (PICHA
NA OFISI YA WAZIRI MKUU)
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw.
Vishnu Lutchmeenaraidoo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha Rais John
Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa mjini Port
Luis kuanzi Machi 20, 2017.
Waziri
Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Waziri wa Mambo ya Nje wa Mauritius, Bw.
Vishnu Lutchmeenaraidoo baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa
wa Sir Seewoosagur Ramgoolam nchini Mauritius kumwakilisha Rais John
Pombe Magufuli katika Uzinduzi wa Jukwaa la Uchumi la Africa mjini Port
Luis kuanzi Machi 20, 2017.Kulia ni Mary Majaliwa.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: