ZANZIBAR YAPUNGUZA DENI LA TANESCO, KUTOKATIWA UMEME BAADA YA KULIPA BILIONI 10
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:37 AM
Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Dkt Ali Mohamed Shein
walipokutana
Ikulu jijini Dar es salaam leo Machi 19, 2017. Taarifa ya Ikulu (hiyo
hapo chini), imemnukuu Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter
Muhongo amabye naye alihudhuria mkutano juo akisema' "Wananci wa
Zanzibar muondoe hofu, umeme hautakatwa, kwani tayari Serikali ya SMZ
imelipa kiasi cha shilingi Bilioni 10 kati ya fedha ambazo TANESCO
inaidai ZECO. Soma zaidi taarifa hiyo. (PICHA NA IKULU)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: