Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimpa cheti cha kutambua umuhimu wake katika kutoa huduma za matibabu ya moyo Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. William Mahalu wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimpa cheti cha kutambua umuhimu wake katika kutoa huduma za matibabu ya moyo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimsikiliza Afisa Mauzo kutoka kampuni ya usambazaji wa dawa ya SUN PHARMA Innocent Maro lipotembelea kuona huduma zinazotolewa na kampuni hiyo wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Khuzeima Khanbhai akipokea cheti cha kushiriki kuandaa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo ulioandaliwa na Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasia Kifai akipokea cheti cha kushiriki kuandaa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo ulioandaliwa na Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya kusambaza vifaa tiba ya Computech Limited Sandip Datta akipokea cheti cha kutambua mchango wake katika kushirikiana na JKCI kufanikisha mkutano wa kwanza wa shambulio ya moyo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Dkt. Seif Shakalaghe wakati wa kufunga mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya MOI. Dkt. Reuben Mutagaywa akipokea cheti cha kushiriki wakati wa kufunga mkutano wa Shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mkutano kabla ya kufunga mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam. (PICHA NA KHAMISI MUSSA NA JKCI)
0 comments: