Latest Articles
MUFTI KUONGOZA SWALA YA JENEZA YA HAYATI RAIS WA AWAMU YA PILI. MZEE MWINYI.
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:02 PMKwa upande mwingine katibu mkuu wa Bakwata Alhaj Nuhu Mruma amesema Maandalizi kupokea mwili wa Kipenzi cha watanzania yamekamilika na kwamba Swala ya jeneza itaswaliwa mara tu baada ya swala ya Ijumaa ikiongozwa na Samaha Mufti Dr. Abubakar Zubeir
.....
Dr. Harith Nkussa
Na.
Mwandishi wetu.
Ijumaa 1.3.2024
Dar es salaam.
read moreKaimu Mkurugenzi wa Hospitali ya JKCI Dar Group Idd Lemmah akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba itakayofanyika tarehe 2 na 3 Machi 2024 katika viwanja vya Hospitali hiyo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani.
Kaimu mkuu wa huduma za tiba wa Hospitali ya JKCI Dar Group Dkt. Eva Wakuganda akielezea huduma zitakazotolewa katika kambi maalumu ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba katika kuadhimisha siku ya wanawake duniani. Kambi hiyo itafanyika tarehe 2 na 3 Machi 2024 katika viwanja vya Hospitali ya JKCI Dar Group iliyopo Tazara jijini Dar es Salaam.Mwakilishi wa umoja wa wanawake Hospitali ya JKCI Dar Group Debora Mkemwa akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kambi maalumu ijulikanayo kama Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan tiba mkoba itakayofanyika tarehe 2 na 3 Machi 2024 katika viwanja vya Hospitali hiyo ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha siku ya wanawake duniani.
Amesema kuwa Mzee Mwinyi alikuwa anasumbuliwa na saratani ya mapafu anatarajiwa kuzikwa Unguja- Zanzibar Machi 2, 2024.
Wakati wa maombolezo bendera zitapepea nusu mlingoti kwa siku 7.
read moreNa Mwandishi Wetu
RCHMT, CHMT SIMAMIENI MIRADI YA AFYA IKAMILIKE KWA WAKATI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 4:25 AMNa Mwandishi wetu Arusha
KAMATI YA HUDUMA YA BUNGE YA AFYA NA MASUALA YA UKIMWI YATEMBELA JKCI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 2:40 PMDaktari Bingwa wa magonjwa ya moyo kwa watoto wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Deogratis Nkya akiwaonesha wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi jinsi wanavyofanya upasuaji wa kuzibua tundu la moyo wa mtoto bila ya kufungua kifua wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kutembelea JKCI Aprili 21, 2024 kwa ajili ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa. Kulia kwa Dkt. Nkya ni makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile Mbunge wa Jimbo la Kigamboni.
Daktari bingwa wa upasuaji wa moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Alex Joseph akiwaeleza wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi aina za upasuaji wa moyo zinazofanyika katika Taasisi hiyo wakati kamati hiyo ilipotembelea JKCI kwa ajili ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa.
Afisa Uuguzi wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) ambaye pia ni misimamizi wa wodi ya watoto Theresia Marimo akiwaeleza wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi huduma za matibabu ya moyo wanazozipata watoto waliolazwa katika wodi hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge akiwaongoza wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi kwenda kuona ujenzi wa jengo la utawala na vipimo unavyoendelea. Kushoto kwa Mkurugenzi ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile Mbunge wa Kigamboni.
Waziri wa Afya Mhe. Ummy Mwalimu akizungumza na wajumbe wa kamati ya kudumu ya bunge ya Afya na masuala ya Ukimwi wakati kamati hiyo ilipofanya ziara ya kutembelea Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) kwa ajili ya kuona huduma mbalimbali za matibabu ya moyo zinazotolewa. Kulia kwa Mhe. Waziri ni Makamu Mwenyekiti wa kamati hiyo Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile Mbunge wa Kigamboni na kushoto ni Naibu Waziri wa Afya Mhe. Dkt.Godwin Mollel.
(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA).
read more