Chopa
ya Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa
UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward
Lowassa, ikitua eneo la Uwanja wa Mkutano, huku wananchi wa Nzega
wakiishangilia,
Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
alieambatana na Mwenyekiti wake, Mh. Freeman Mbowe wakiwasili kwenye
Uwanja wa Polisi Nzega, tayari kwa Mkutano wa Kampeni.
Baadhi
ya wananchi wa Mji wa Nzega, Mkoani Tabora wakimshangilia Mgombea Urais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,wakati
wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi
Nzega
Mgombea
wa Ukawa alieteuliwa kuwania Ubunge wa Jimbo la Nzega Mjini kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Charles Mabula akizungumza
na wananchi wake kabla ya kupigiwa kura ya wazi iliyompitisha kuwania
nafasi hiyo na kumtupa nje Mwezake wa Chama cha CUF, Mezza Leonard
(hayupo pichani), wakati wa Mkutano wa hadhara wa Kampeni za Mgombea
Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mwamvuli wa UKAWA
kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa,
uliofanyika kwenye Uwanja wa Polisi Nzega, .Kushoto
ni Mwenyekiti wa CHADEMA, Mh. Freeman Mbowe
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: