HATIMAE SAUTI YA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MISUGUSUGU IMESIKIKA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 3:09 PM
Baada ya wanafunzi wa Shule ya Msingi Misugusugu kugongwa na Gari lililodhaniwa ni gari la Polisi hali ilivyokuwa siku ya tukio hivi karibuni,
Usalama kwanza
Wanafunzi pichani wakidai kuwekewa matuta
Wananchi wakiweka magogo Barabarani
Raia akiongea na Askari jambo
Magogo yaliwashwa
Mwananchi akionyesha ganda la Risasi (PICHA KWA HISANI YA UJIJIRAHAA BLOG)
Hapa ni utekelezaji wa kilio cha Wanafunzi wa Shule ya Msingi Misugusugu iliyopo Kibaha, wakiwekewa Rasta za matuta madogo yatakayo mfanya Dereva kupunuza mwendo, ambapo Fokas Lenzi ya kamera ya ujijirahaa blog ilipita eneo la tukio jana jioni ikishuhudia uwekaji wa rasta hizo na kujionea msongamano wa foleni (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Pichani ni magari yakiwa katika
Mafundi wakiweka rasta hizo
Magari yakiwa katika foleni
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: