ALIYEKUWA MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE ABBAS MTEMVU AFIWA NA MAMA MZAZI


Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Temeke na Kamanda wa Vijana Mkoa wa Dar es Salaam,
Abbas Mtemvu afiwa na mama yake  mzazi Sitti Kilungo  Mtemvu kilichotokea siku ya jumatano msiba upo masaki  Mtaa wa Haileselasi karibu na Hospitali ya Osetabey ambapo chanzo kutoka katika familia kilidokeza   mazishi yanatarajiwa kufanyika siku ya Ijumaa Jun 2, 2017 saa kumi  alasiri katika  makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es Salaam (PICHA KWA HISANI YA FAMILIA, KHAMISI MUSSA)

0 comments: