Baadhi ya wapiganaji wa zamani wa wakiwasili KanangaRFI/Sonia Rolley
Kundi
la wapiganaji wa Kamwina Nsapu nchini DRC limetekeleza mauaji ya
maafisa 40 wa polisi katika shambulizi jimboni kasai,maafisa katika eneo
hilo wamearifu.
Shirika la habari la Uingereza BBC Limeripoti kuwa wapiganaji wa kundi la Kamwina Nsapu walishambulia msafara wa maaskari hao.
kiongozi wa Kasai Francois Kalamba ameeleza kuwa askari sita waliachiwa huru lakini wengine walichinjwa.
Machafuko katika jimbo la Kasai yalianza mnamo mwezi August mwaka jana
baada ya vikosi vya usalama kumuua kiongozi wa kundi hilo la Kamwina
Nsapu.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: