BENKI YA CRDB TAWI LA MLIMANI CITY YAADHIMISHA SIKU YA WANAWAKE NA WATEJA WAKE
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 11:03 AM
Baadhi
ya wateja wa akaunti ya Malkia ya Benki ya CRDB tawi la Mlimani City
wakiwa na zawadi zao walizopewa na benki hiyo wakati wa kusherehekea
siku ya wanawake iliyoadhimishwa leo ofisini kwao jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya wateja wa akaunti ya Malkia ya Benki ya CRDB tawi la Mlimani City pamoja na maofisa wa Benki hiyo, wakisherehekea siku ya wanawake iliyoadhimishwa leo ofisini kwao jijini Dar es Salaam.
wafanyakazi wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City wakiwa katika picha ya pamoja wakifurahia siku ya wanawake duniani.
Meneja
Huduma kwa Wateja wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City, Lilian Lema
akigawa biskuti kwa wateja wa benki hiyo Leo ikiwa ni sehemu ya
kuazimisha siku ha wanawake duniani. Sherehe hizo zimefanyika katika
benki hiyo tawi la Mlimani City Jijini.
Meneja
Maendeleo ya biashara wa benki ya CRDB tawi la Mlimani City, Andrew
Kuzilwa akifungua rasmi sherehe za siku ya wanawake w tawi hilo leo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: