WAZIRI MKUU MAJALIWA AZINDUA 4G LTE YA TTCL MJINI DODOMA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:27 PM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza wakati
alipozindua mtandao wa 4G LTE wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye
viwanja vya Bunge mjini Dodoma Februari 10, 2017.(PICHA NA OFISI YA WAZIRI
MKUU)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge
Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Mtandao
wa 4G LTE wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge
mjini Dodoma . Wapili kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi,
Uchukuzi na Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani, kushoto ni Mkurugenzi
Mtendaji wa Kampuni ya Huawei Tanzania, Zhang Yongquan na kulia ni Kaimu Ofisa
Mtendaji Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa , Spika wa Bunge
Job Ndugai (wapili kushoto) na Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano,
Profesa Makame Mbarawa wakibonyeza kitufe kuashiria uzinduzi wa Mtandao
wa 4G LTE wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kwenye viwanja vya Bunge
mjini Dodoma . Kushoto ni Naibu Waziri wa Ujenzi, Uchukuzi na
Mawasiliano, Mhandisi Edwin Ngonyani na kulia ni Kaimu Ofisa Mtendaji
Mkuu wa TTCL, Waziri Kindamba.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na Spika wa Bunge,
Job Ndugai wakizungumza kwa simu ikiwa ni uzinduzi wa mtandao wa 4G
LTE wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), kwenye viwanja vya Bunge mjini
Dodoma.
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akitembelea kujionea shughuli mbalimbali za TTCL
Waziri Mkuu akizungumza wakati wa uzinduzi huo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (kushoto) akiongozana na Waziri Profesa Mbarawa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: