ASKARI WA JWTZ AUWAWA NA WANANCHI- MBEYA

 
KUTOKA MBEYA:
Raia waua askari wa jwtz mbalizi mmoja na mwingine mahututi amekimbizwa hospital ya rufaa mbeya section mmoja ffu iko eneo la tukio.


Chanzo cha Mauaji na vurugu hizo ni wivu wa mapenzi askari katembea na mchumba wa raia.

0 comments: