PICHA ZINATISHA SANA,,HII NDIYO AJALI MBAYA YA GARI ILIYOTOKEA JANA HUKO SINGIDA NA KUUA WATU 13 PAPO HAPO...!

Baadhi ya wakazi wa kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi mkoa wa Singida, wakitoa miili ya abiria wa Noah T.730 BUX waliofariki baada ya gari hilo kugongwa na lori aina ya Scania T.687 AXB kwenye barabara kuu ya Singida – Dodoma leo
Baadhi ya miili ya abiria wa Noah T,730 BUX waliofariki leo kwenye ajali iliyotokea eneo la kijiji cha Isuna tarafa ya Ikungi wilaya ya Ikungi.
 Gari aina ya Noah T,730 BUX linavyoonekana baada ya kugongwa na Lori.

0 comments: