MAMA JANETH MAGUFULI AMKARIBISHA MAMA SIZAKELE ZUMA OFISINI KWAKE DAR ES SALAAM
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 1:18 AM
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) akipeana mikono na Mke wa Rais
wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, alipomkaribisha
kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za kijamii, Dar es Salaam jana Mei 11, 2017
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) akiwa ameongozana na Mke wa Rais
wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, wakati
wakielekea kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za kijamii ikiwa ni
pamoja na kusaidia wazee walemavu na wale walioathirika na ugonjwa wa
ukoma jijini Dar es salaam, Mei 11, 2017. Mama Zuma alikuwa
ameongozana na mumewe aliyekuwa katika ziara ya kikazi nchini.
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) na Mke wa Rais wa Afrika ya Kusini
Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, wakiwa kwenye mazungumzo na
wasaidizi wao kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za kijamii
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) akifurahia jambo na Mke wa Rais wa
Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, alipomkaribisha
kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za kijamii
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) na Mke wa Rais wa Afrika ya
Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, wakipata picha ya
kumbukumbu mara baada ya kumkaribisha kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za
kijamii
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) na Mke wa Rais wa Afrika ya
Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, wakipata picha ya
kumbukumbu na wasaidizi wao mara baada ya kumkaribisha kwenye ofisi yake
anayoendeshea shughuli za kijamii
Mke
wa Rais Mama Janeth Magufuli (kulia) akimsindikiza Mke wa Rais wa
Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma, Mama Sizakele Zuma, alipomkaribisha
kwenye ofisi yake anayoendeshea shughuli za kijamii
Kikundi
cha matarumbeta cha Usambara kikiwatumbuiza Mke wa Rais Mama Janeth
Magufuli (kulia) na Mke wa Rais wa Afrika ya Kusini Mhe. Jacob Zuma,
Mama Sizakele Zuma alipomkaribisha mgeni wake huyo kwenye ofisi yake
anayoendeshea shughuli za kijamii. (PICHA NA IKULU)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: