MAKAMU WA RAIS MAMA SAMIA SULUHU HASSAN ASHIRIKI HITIMISHO LA MKUTANO WA KUWEZESHA WANAWAKE KIUCHUMI MJINI DUBAI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:27 PM
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na Profesa Alicia Giron ambaye ni Profesa na Mtafiti wa
uchumi katika Chuo Kikuu cha Mexico (UNAM) wakati wa hitimisho la
mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai.
Makamu wa
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan
akizungumza na mwezeshaji Susan Monahan wakati wa hitimisho la mkutano
wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai.
Hitimisho la mkutano wa kuwawezesha wanawake kiuchumi mjini Dubai ukiendelea leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: