MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA AENDELEA KUFANYA MAZOEZI KWA AJILI YA KULINDA AFYA

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akifanya mazoezi ya viungo kwenye viwanja vya makazi yake jijini Dar es salaam ikiwa sehemu ya kuendeleza kampeni yaKitaifa ya kudhibiti Magonjwa yasiyo ya kuambukiza aliyoizindua tarehe 17 Desemba, 2016 katika viwanja vya Leaders Club.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongozana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ally Hapi na Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa Oyster bay Ndugu Zefrin Lubuva ikiwa sehemu ya kuendeleza kampeni yaKitaifa ya kudhibiti Magonjwa yasiyo ya kuambukiza aliyoizindua tarehe 17 Desemba, 2016 katika viwanja vya Leaders Club.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiongozana na Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Mhe. Ally Hapi na Mwenyekiti wa Serikali za Mitaa Oyster bay Ndugu Zefrin Lubuva pamoja na wasaidizi wake ikiwa sehemu ya kuendeleza kampeni yaKitaifa ya kudhibiti Magonjwa yasiyo ya kuambukiza aliyoizindua tarehe 17 Desemba, 2016 katika viwanja vya Leaders Club.

0 comments: