RAIS WA ZANZIBAR DK.ALI MOHAMED SHEIN AREJESHA FOMU ZA KUGOMBEA URAIS WA ZANZIBAR

1
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein akifuatana na  Mkewe Mama Mwanamwema Shein wakisalimiana na Viongozi wa CCM alipofika kurejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC)  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.
7
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha  fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo.
8
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akisalimiana na Wananchi waliofika katika Ofisi Kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Unguja baada ya kurejesha  fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo.
5
Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha (aliyesimama) akimshukuru Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein kwa kuweza kukamilisha taratibu zote za ujazaji wa Fomu za kugombea Urais wa Zanzibar wakati aliporejesha fomu hizo leo katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja,(kulia) Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (NEC) Ng,Salim Kassim Ali,wakiwepo na wajumbe wa Tume hiyo (kushoto).
3
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akiteta jambo na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai baada ya kurejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.
2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati  aliporejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja leo,
6
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto) akimkabidhi fedha tasilim Shilingi za Kitanzania Millioni mbili Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha wakati  aliporejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar   katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja
  4 
   Baadhi ya Viongozi wa Chama cha Mapinduzi walioshuhudia Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein ,akirejesha fomu  za kugombea Urais  wa Zanzibar kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Mhe,Jecha Salim Jecha  katika Ofisi ya Tume ya Uchaguzi iliyopo Hoteli ya Bwawani Mjini Unguja.
Picha na Ikulu.

0 comments: