RAIS KIKWETE APOLEA TUZO YA KIONGOZI BORA AFRIKA MASHARIKI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 8:42 AM
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete leo
amepokea Tuzo ya Kiongozi Bora Afrika Mashariki kutoka katika taasisi
ya East Africa Book of Records yenye makao yake makuu jijini Kampala
Uganda.
Pichani kiongozi wa Taasisi hiyo
Dkt.Paul Bamutize akimkabidhi Rais Kikwete tuzo hiyo wakati wa hafla
fupi iliyofanyika ikulu jijini Dar es Salaam Septemba 9, 2015 .
asubuhi.Sambamba na Tuzo hiyo Rais kikwete amepokea tuzo ya kuitambua
Tanzania kama taifa bora Afrika Mashariki kwa kudumisha Amani na
Utulivu,Huduma bora za jamii,na maendeleo makubwa ya kiuchumi katika
kipindi cha miaka kumi.
(picha na Freddy Maro)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: