Aliyekuwa
Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe ambaye
alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge wa CUF, anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, Salum Baruan, akibebwa na wananchi baada ya kutangaza
kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa
Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi
Mmoja, mkoani Lindi .
Wananchi
akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza
wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Katibu
wa NEC, Itkadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akimkaribisha jukwaani,
Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe
ambaye alikuwa ndiye mpiga debe mkubwa wa Mbunge wa CUF anayemaliza mda
wake wa
Lindi mjini, Salum Baruani, wakati alipoamua kutangaza kuhamia CCM,
katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi . Kulia ni Mama Salma Kikwete.
Shamrashamra zikirindima wakati Nape akimtangaza Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe
ambaye alikuwa ndiye mpiga debe mkubwa wa Mbunge waCUF anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, Salum Baruani baada ya kutangaza kuhamia CCM, katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi .
Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa kampeni za CCM aliofanya katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
Mgombea
wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan na Mjumbe wa NEC, Lindi Mjini Mama Salma
Kikwete wakiwasalimia wananchi wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
Katibu
wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimsikiliza kwa makini,
aliyekuwa Mpigadebe Mkuu wa CUF, Lindi Mjini, Mohammed Omari baada ya
kutangaza kuhamia CCM katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mke
wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikwete
akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Mnazi Mmoja
mkoani Lindi
Wananchi
wakiwa na bango la kufagilia uamuzi wa CCM kumpatia nafasi mwanamke
Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,
katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani
Lindi.
Mgombea
Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akiwa na
Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, Ali Mtopa, baada
ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Mnazi
Mmoja mkoani Lindi
Mgombea Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akijadiliana jambo na Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee
Mtopa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika eneo
la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Wasanii
wa Bongo Movie kina Wema Sepetu wakiwa kwenye mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mke
wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasili meza kuu wakati wa mkutano wa
kampeni za CCM uliofanyika leo eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu akiwasili meza Kuu
wakati wa mkuano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Mnazi Mmoja
mkoani Lindi
Msafara
wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu,
ukipokewa na waendesha bodaboda ulipowasili Lindi Mjini ukitokea
jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Wananchi
wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na
Mgombea Mwenza w Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Mwananchi
akiwa na bango la Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Katika mkutano wa
kampeni za CCM uliohutubiwa na Mgombea Mwenza wa Urais Mama samia Suluhu
Hassan katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Mbunge
wa zamani wa Mchinga,Muhdhihir Mudhihir akiteta jambo na Mwenyekiti wa
CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa katika mkuano wa kampeni uliofanyika katika
jimbo hilo
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akishauriana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Mchinga, Said Mtanda,
katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo
Mbunge
wa zamani wa Jimbo la Mchinga, Mudhihir Mudhihir akihutubia katika
mkutano wa kampeni uliofanyika katika jimbo hilo mkoani Lindi
Wananchi
wakimsikiliza kwa makini Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM,
Mama Samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika
katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Mgombea
Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan akimnadi
mgombea Ubunge jimbo la Mchinga Said Mtanda, wakati wa mkutano wa
kampeni uliofanyika katika jimbo hilo mkoani Lindi. PICHA ZOTE NA
BASHIR NKOROMO
MAMA SAMIA, NAPE NA
MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI
Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe
ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege, akibebwa na wananchi baada ya
kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea
wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo
la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama
wengine 38 walihamia CCM.
Wananchi akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan leo
katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akimkaribisha
jukwaani, Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla
Madebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda
wake wa
Lindi mjini, Maarufu kwa jina la Bwege, wakati alipoamua kutangaza
kuhamia CCM, katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
Shamrashamra zikirindima wakati Nape akimtangaza Aliyekuwa Katibu wa
wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe ambaye alikuwa ndiye
mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege baada ya kutangaza kuhamia CCM,
katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akihutubia mkutano wa kampeni za CCM aliofanya katika eneo la Mnazi
Mmoja, mkoani Lindi leo
Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan na
Mjumbe wa NEC, Lindi Mjini Mama Salma Kikwete wakiwasalimia wananchi
wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mnazi Mmoja,
mkoani Lindi
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimsikiliza kwa makini,
aliyekuwa Mpigadebe Mkuu wa CUF, Lindi Mjini, Mohammed Omari baada ya
kutangaza kuhamia CCM leo katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mke wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikwete
akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mnazi Mmoja
mkoani Lindi
Wananchi wakiwa na bango la kufagilia uamuzi wa CCM kumpatia nafasi
mwanamke Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Mnazi
Mmoja, mkoani Lindi.
Mgombea Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akiwa na Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee
Mtopa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo
la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mgombea Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akijadiliana jambo na Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Lindi Mzee
Mtopa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo
la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Wasanii wa Bongo Movie kina Wema Sepetu wakiwa kwenye mkutano wa
kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama
Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi leo
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasili meza kuu wakati wa mkutano wa
kampeni za CCM uliofanyika leo eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu akiwasili
meza Kuu wakati wa mkuano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu, ukipokewa na waendesha bodaboda ulipowasili Lindi Mjini leo
ukitokea jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Wananchi wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza w Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi leo
Mwananchi akiwa na bango la Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Katika
mkutano wa kampeni za CCM uliohutubiwa na Mgombea Mwenza wa Urais Mama
samia Suluhu Hassan katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi leo
Mbunge wa zamani wa Mchinga,Muhdhihir Mudhihir akiteta jambo na
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa katika mkuano wa kampeni
uliofanyika katika jimbo hilo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akishauriana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Mtera Said Mtanda, katika
mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Mchinga, Mudhihir Mudhihir akihutubia
katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Lindi
Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo
katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan
akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Mchinga Said Mtanda, wakati wa mkutano
wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Lindi.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
MAMA SAMIA, NAPE NA
MAMA SALMA KIKWETE WAITIKISA LINDI MKUTANO WA KAMPENI
Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe
ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege, akibebwa na wananchi baada ya
kutangaza kuhamia CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea
wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo
la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama
wengine 38 walihamia CCM.
Wananchi akishangilia wakati wa mkutano wa kampeni uliofanywa na
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan leo
katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Katibu wa NEC, Itkadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akimkaribisha
jukwaani, Aliyekuwa Katibu wa wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla
Madebe ambaye alikuwa ndiye mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda
wake wa
Lindi mjini, Maarufu kwa jina la Bwege, wakati alipoamua kutangaza
kuhamia CCM, katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
Shamrashamra zikirindima wakati Nape akimtangaza Aliyekuwa Katibu wa
wilaya ya Lindi mjini wa Chadema, Abdalla Madebe ambaye alikuwa ndiye
mpigadebe mkubwa wa Mbunge anayemaliza mda wake wa
Lindi mjini, maarufu kwa jina la Bwege baada ya kutangaza kuhamia CCM,
katika
mkutano wa kampeni uliofanywa na Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja, mkoani Lindi
leo. Pamoja na Katibu huyo wanachama wengine 38 walihamia CCM.
Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akihutubia mkutano wa kampeni za CCM aliofanya katika eneo la Mnazi
Mmoja, mkoani Lindi leo
Mgombea wenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan na
Mjumbe wa NEC, Lindi Mjini Mama Salma Kikwete wakiwasalimia wananchi
wakati wa mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mnazi Mmoja,
mkoani Lindi
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akimsikiliza kwa makini,
aliyekuwa Mpigadebe Mkuu wa CUF, Lindi Mjini, Mohammed Omari baada ya
kutangaza kuhamia CCM leo katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mke wa Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete, Mama Salma Kikwete
akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la Mnazi Mmoja
mkoani Lindi
Wananchi wakiwa na bango la kufagilia uamuzi wa CCM kumpatia nafasi
mwanamke Mama Samia Suluhu Hassan kuwa Mgombea Mwenza wa Urais kwa
tiketi ya CCM, katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo la Mnazi
Mmoja, mkoani Lindi.
Mgombea Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akiwa na Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee
Mtopa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo
la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Mgombea Mwwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akijadiliana jambo na Mama Salma Kikwete na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa
Lindi Mzee
Mtopa, baada ya kuwasili kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika leo eneo
la Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Wasanii wa Bongo Movie kina Wema Sepetu wakiwa kwenye mkutano wa
kampeni uliofanywa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama
Samia Suluhu Hassan katika eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi leo
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwasili meza kuu wakati wa mkutano wa
kampeni za CCM uliofanyika leo eneo la Mnazi Mmoja mkoani Lindi leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu akiwasili
meza Kuu wakati wa mkuano wa kampeni uliofanyika leo katika eneo la
Mnazi Mmoja mkoani Lindi
Msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu, ukipokewa na waendesha bodaboda ulipowasili Lindi Mjini leo
ukitokea jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Wananchi wakiwa katika shamrashamra wakati wa mkutano wa kampeni
uliofanywa na Mgombea Mwenza w Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia
Suluhu Hassan katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi leo
Mwananchi akiwa na bango la Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Katika
mkutano wa kampeni za CCM uliohutubiwa na Mgombea Mwenza wa Urais Mama
samia Suluhu Hassan katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi leo
Mbunge wa zamani wa Mchinga,Muhdhihir Mudhihir akiteta jambo na
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi Mzee Mtopa katika mkuano wa kampeni
uliofanyika katika jimbo hilo leo
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan
akishauriana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Mtera Said Mtanda, katika
mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo
Mbunge wa zamani wa Jimbo la Mchinga, Mudhihir Mudhihir akihutubia
katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Lindi
Wananchi wakimsikiliza kwa makini Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya
CCM, Mama samia Suluhu Hassan katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo
katika jimbo la Mchinga mkoani Lindi
Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia suluhu Hassan
akimnadi mgombea Ubunge jimbo la Mchinga Said Mtanda, wakati wa mkutano
wa kampeni uliofanyika leo katika jimbo hilo mkoani Lindi.
PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO
Copy the BEST Traders and Make Money (One Click) : http://ow.ly/KNICZ
0 comments: