Rais
Jakaya Kikwete akimkabidhi Bw. Haroub Soud Mzee ambaye ni mlemavu wa
miguu bajaji itakayomsaidia katika shughuli zake mbalimbali za kimasomo.
Bw. Mzee ni mwanafunzi wa Uhasibu mwaka wa tatu katika Chuo Kikuu cha
Kampala University jijini Dar es salaam
Rais
Jakaya Kikwete akisoma maelezo ya kadi ya bajaji aliyemkabidhi. Haroub
Soud Mzee ambaye ni mlemavu wa miguu bajaji itakayomsaidia katika
shughuli zake mbalimbali za kimasomo. Picha na Magreth Kinabo - MAELEZO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: