CHAMA CHA WANANCHI CUF KUZINDUA KAMPENI ZA UDIWANI WILAYA YA NYAMAGANA MWANZA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:12 PM
Chama cha Wananchi CUF Wilaya ya Nyamagana Mwanza Kimezindua Kampeni za Uchaguzi wa Udiwani katika Kataa hiyo, Chama kimemnadi Mgombea Udiwani Juma Masanja (DADI) na Diwani Viti Maalum, Ester Kwesi , ambapo mgeni Rasmi alikuwa Mwenyekiti wa Nyamagana Salum Jumah.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: