Katibu wa Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Soraga akitoa mawaidha baada ya kisomo cha Hitima ya Marehemu Salmin Awadh, aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM), Mjini Unguja aliyefariki hivi karibuni. Hitima hiyo ilisomwa leo jioni katika Msikiti wa Mushawal Mwembeshauri
Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Vuai Ali Vuai akitoa shukurani kwa Viongozi mbalimbali, Waislamu na Wananchi na wapenzi wa CCM baada ya kisomo cha Hitima Marehemu Salmin Awadh aliyekuwa Mwakilishi wa Jimbo la Magomeni (CCM) Mjini Unguja iliyosomwa leo katika Msikiti wa Mushawal Mwembesahauri. Marehemu alifariki hivi karibuni na kuzikwa Makunduchi, Mkoa wa Kusini Unguja.
0 comments: