IGP MANGU AKABIDHIWA KOMBE LILILONYAKULIWA NA TIMU YA SOKA YA POLISI TANZANIA KWENYE MICHEZO YA MAJESHI HUKO Z'BAR
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 12:42 PM
Mkuu
wa Jeshi la Polisi nchini IGP Ernest Mangu akikabidhiwa kombe na Kamishna wa
Polisi Jamii Mussa Ali Mussa baada ya timu ya mpira wa miguu ya Polisi Tanzania
kuchukua ubingwa katika Michezo ya Majeshi iliyomalizika hivi karibuni Visiwani
Zanzibar (PICHA NA FRANK GEOFRAY-JESHI
LA POLISI).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: