MAJALIWA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA SITA WA TUCTA MJINI DODOMA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:47 AM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
akishiriki kuimba wimbo wa mshikamano kabla ya kufungua Mkutano Mkuu wa
Sita wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kwenye ukumbi wa Chuo
cha Mipango mjini Dodoma Novemba 23, 2016. Kulia kwake ni Waziri wa Nchi,
Ofisi ya Waziri Mkuu Mkuu Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Ajira
na Walemavu, Jenista Mhagama na kushoto kwake ni Mkuu
wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana . (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza
wakati alipofungua Mkutano Mkuu wa Sita wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUKTA)
kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu
Sera, Bunge, Uratibu, Kazi, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama akiwasalimia wajumbe
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi, Angela
Kairuki akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Sita wa Shirikisho la Vyama vya
Wafanyakazi (TUCTA) uliofunguliwa na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa kwenye ukumbi
wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma
Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi
(TUCTA) , Gratian Mukoba akizungumza katika Mkutano Mkuu wa Sita wa
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) uliofunguliwa na Waziri Mkuu,
Kassim Majaliwa kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza
wakati alipofungua Mkutano Mkuu wa Sita wa Shirikisho la Wafanyakazi (TUKTA)
kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma
Baadhi ya washiriki wa Mkutano Mkuu wa Sita wa
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) wakimsikilza Waziri Mkuu, Kassim
Majaliwa wakati alipofungua mkutano huo kwenye ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini
Dodoma
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwa katika picha
ya pamoja na baadhi ya Viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA)
na wananchama wa TUCTA baada ya kufungua Mkutano Mkuu wa Sita kwenye
ukumbi wa Chuo cha Mipango mjini Dodoma Kulia kwake ni Waziri
wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Uratibu na Bunge, Kazi, Ajira , Vijana
na Walemavu, Jenista Mhagama na kulia kwake ni Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais
Utumishi, Angela Kairuki
Waziri Mkuu akisalimiana na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Jordan Rugimbana
Waziri Mkuu akisalimiana na Rais wa CWT, Gratian Mukoba
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: