Rais
Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete akikaribishwa na Crown Prince wa Abudhabi
na Naibu Kamanda Mkuu wa Majeshi ya UAE Sheikh Mohammed bin Zayed Al
Nahyan katika makazi yake jijini Abudhabi
Rais
Mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni Mjumbe Maalum wa AU kwa Libya, akiwa
katika mazungumzo na Crown Prince wa Abudhabi Mtukufu Sheikh Mohamed bin
Zayed Al Nahyan. Kulia ni Waziri wa Nchi H.H.Reem Al Hashimy.
Rais
Mstaafu Jakaya Kikwete ambaye ni Mjumbe Maalum wa AU kwa Libya,
akiagana na Crown Prince wa Abudhabi Mtukufu Sheikh Mohammed bin Zayed
Al Nahyan.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: