Meneja Mkuu Wa Sea View Beach Resort, Gilbart Peneza, alisalimiana na Waziri Mkuu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa |
MAJALIWA AFUNGUWA KONGAMANO LA KISAYANSI MKUTANO MKUU WA 45 WA CHAMA CHA WAUGUZI TANZANIA OKTOBA 4 , 2017 – MKOANI LINDI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 1:15 PM
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akifungua Kongamano la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa 45 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) Mkoani Lindi (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wauguzi wanafunzi wa Chuo Cha Uuguzi na Ukunga Nyangao Vijijini, Mkoani Lindi wakiwa katika maandamano kabla ya kufunguliwa kwa Kongamano la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa 45 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa Mkoani Lindi, Oktoba 4, 2017
Rais wa Chama cha Wauguzi Tanzania (TANNA), Paul Magesa (kulia) akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa wakati alipowasili katika ufunguzi wa Kongamano la Kisayansi na Mkutano Mkuu wa 45 wa Chama Cha Wauguzi Tanzania (TANNA) uliyofanyika Hotel ya Sea View Beach Resort, katikati ni Mkuu wa Mkoa wa Lindi, Godfrey Zambi, kuanzia kulia ni
Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Muhamad Bakari Kambi, Mkuu wa Wilaya ya Lindi, Shaibu Ndemanga akifuatiwa na Naibu Waziri Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,Wazee na Watoto, Dk Khamis Kigwangalla
Mkurugenzi Maendeleo wa Chama Cha Wauguzi Tanzania, (TANNA), Charles Soloka, (wa pili kulia), kuanzia kulia ni Meneja Mkuu Wa Sea View Beach Resort, Gilbart Peneza.
Wauguzi wakiwa katika maandamano
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa (wa pili kushoto) akipokea maandamano
Uchangiaji wa Damu ukiendelea
Kikundi cha ngoma za asili kutoka mkoa wa Lindi kikitowa burudani
Wauguzi wakifurahi ujumbe uliokuwa ukitolewa na kikundi cha ngoma za asili kutoka mkoa wa Lindi.
Mmiliki wa Sea View Beach Resort, Apollonia Peneza (nyuma) ya Mh, Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Viongozi mbalimbali katika picha ya pamoja na Mh. Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Katibu Mkuu wa Chama Cha Wauguzi, Sebastian Luziga akisoma risala mbele ya mgeni rasmi
Mkuu wa Mkoa wa Lindi akitoa salamu za mkoa
Waziri Mkuu akihutubia Mkutano huo
Rais wa Chama Cha Wauguzi Tanzania
(TANNA), Paul Magesa (wa kushoto), akimkabidhi, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa zawadi mara baada ya kufunga Mkutano .
Waziri Mkuu katika picha ya pamoja na viongozi wa (TANNA) Taifa
Mkurugenzi wa Uuguzi na Ukunga wa Wizara ya Afya akisalimiana na Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa
wajumbe wa Mkutano Mkuu wa Chama hicho kutoka mkoa wa
Arusha
Waziri Mkuu akiwapungia mkono Wauguzi, kushoto ni Mama Salma Kikwete
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: