WAZIRI MWAKYEMBE AKUTANA NA BMT, BODI YA LIGI NA TFF MJINI DODOMA.


Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe akizungumza na ujumbe kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mjini Dodoma leo Aprili 20, 2017. (wapili kulia ni Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mhe. Anastazia Wambura.



Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura (Kushoto) akizungumza na ujumbe kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mjini Dodoma kulia ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe.


Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Prof. Elisante Ole Gabriel akizungumza na ujumbe kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mjini Dodoma kulia ni Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe.


Mwanasheria wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Emmanuel Muga Agustino, (wapili kushoto), akifafanuamasuala ya kwa kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe(hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya Waziri na ujumbe kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mjini Dodoma.


Mtendaji Mkuu wa Bodi ya Ligi Boniface Wambura(kushoto) akieleza masuala mbalimbali yahusuyo Ligi Kuu Tanzania Bara kwa Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe(hayupo pichani) wakati wa kikao kati ya Waziri na ujumbe kutoka Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Bodi ya Ligi kuu Tanzania Bara na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) Mjini Dodoma.

0 comments: