Mbunge wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye akifurahia jambo wakati akizungumza na wazee hao leo Aprili 9, 2017
Mbunge wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye akiwasili
katika kikao cha kati yake na wazee wa Mtama kilichofanyika kwenye
ukumbi wa kanisa katoliki kijiji cha Majengo A huku akiwa ameongozana na
Katibu Msaidizi wa Wilaya ya Lindi Vijijini Bw. Shaibu Bakari Ngatiche
Mbunge wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye akisalimiana na baadhi ya wazee wakati alipowasili katika ukumbi wa mkutano wake kati ya yake na wazee wa Jimbo la Mtama.
Mbunge
wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye akizungumza na wazee wa Mtama leo
kwenye ukumbi wa kianisa Katoliki Kijiji cha Majengo A.
Mbunge wa jimbo la Mtama, Mh Nape Nnauye akifurahia jambo wakati akizungumza na wazee hao leo.
Baadhi ya wazee wakimsikiliza Mbunge wa jimbo la Mtama Mh. Nape Nnauye wakati akizungumzza nao leo.
Mwenyekiti
wa CCM wilaya ya Lindi vijijini Bw. Mohamed Nanyali akizungumza na
wanachama wa CCM na wananchi wakati akimkaribisha Mbunge wa jimbo hilo
Mh. Nape nnauye ili kuzungumza na wapiga kura wake.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: