UNAOMBWA KUSHIRIKI BARAKA ZA HARUSI YA MHARIRI WA KWA NEEMA FM RADIO YA JIJINI MWANZA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:13 AM
Familia ya Jeston
Kihwelo ambae ni Mhariri Mkuu (Mwanahabari na Mtangazaji) wa 98.2 Kwa Neema Fm
Radio iliyopo Kiloleli, Manispaa ya Ilemela Mkoani Mwanza inayofuraha kubwa kukushirikisha katika Sherehe ya Harusi ya kijana wao mpenda Jeston Kihwelo anaetarajia kufunga ndoa na Rebeca Joseph.
Piga 0768 24 88 64 AU 0689 093 041
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Asante kwa upendo wenu
ReplyDelete