LOWASSA AINGIA MKOA WA KAGERA,ATIKISA JIMBO LA MULEBA





MGOMBEA urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema ambaye anaungwa mkono na vyama vinavyounda UKAWA Edward Lowassa leo aitikisa ngome ya Aliyekuwa Waziri wa Yumba na Ardhi Profesa Anna Tibaijuka baada ya mapokezi yake kusimamisha shughuli zote katika wilaya hiyo.
        Kama unavyoona umati huo kwenye picha hizo,Lowassa ambaye anaendelea na harakati zake za kampeni katika mikoa mbali mbali nchini amezidi acha simulizi baada ya watu kujitokeza kwa wingi kwenye mikutano yake,

Lowassa akiwahutubia maelfu na maelfu ya wakati wa Muleba amewataka kujitokeza kwa wingi Octoba 25 na kumchagua kwa kura nyingi aliakapambana na kuondoa umasikini  wakutupwa kwa watanzania

0 comments: