kasi ya huduma zake za kupambana na ugonjwa wa malaria kwakuwa ni moja ya taasisi zilizo mstari wa mbele kupunguza vifo
vitokanavyo na ugonjwa huo.
maadhimisho ya siku ya Malaria duniani Sadick alisema MSD imekuwa ikifanya
jitihada kuhakikisha ugonjwa wa malaria unakoma na vifo vitokanavyo na ugonjwa
huo vinapungua.
matokeo ya kupungua takwimu za vifo vya mama na mtoto mchanga chini ya miaka
mitano vitokanavyo na ugonjwa wa malaria hivyo jitihada zaidi zinahitajika
kuhakikisha malengo ya millennia ya kupunguza vifo hivyo yanafikiwa.
malaria zinapatikana katika kila kituo cha afya, Zahanati na Hospitali ni
wajibu wa wananchi kuhakikisha wanafanya
matumizi sahihi ya dawa hizo ili kutibu ugonjwa huo.
kupunguza ugonjwa wa malaria tumeelezwa jinsi gani MSD inahakikisha dawa za
malaria hazikosekani katika vituo vya kutolea huduma lakini pia imepanua wigo kwa kutoa elimu kwa vitendo jinsi ya
kupambana na ugonjwa huo kwa kuhakikisha
kinga dhidi ya malaria inaanzia kwa wafanyakazi wake na wanapewa
vyandarua vyenye dawa wao na familia zao,”alisema
hizo katika matumizi yasiyo sahihi ikiwemo dozi moja ya dawa kutumiwa na watu
zaidi ya mmoja kwakuwa kufanya hivyo kunasababisha matibabu ya wagonjwa wa
malaria kutokukamilika na kusababisha vifo.
sahihi katika vyandarua vya msaada
ambapo utumika kwa ajili ya kufugia Kuku au kuvulia Samaki hivyo mapambano
dhidi ya ugonjwa huo kutokufanikiwa.
katika kuweka nguvu ya kupambana na Malaria ni wajibu wa jamii kuziunga mkono kwakuwa matumizi ya
misaada hiyo ikiwemo Vyandarua ikitumiwa kwa malengo yaliyokusudiwa kutaongeza uzalishaji wa uchumi katika nchi
kutokana na kuimarika kwa afya ya wananchi wake,”alisema.
mpango wa ugawaji wa Vyandarua milioni 24 kwa nchi mzima ikiwa ni jitihada za
Serikali na wadau mbalimbali kupambana na ugonjwa wa Malaria.
0 comments: