
JK AONGOZA WATANZANIA KATIKA MAADHIMISHO YA MIAKA 51 YA MUUNGANO
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 7:33 AM
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Kikwete leo amewaongoza
Watanzania katika maadhimisho ya miaka 51 ya Muungano wa Tanganyika na
Zanzibar uliounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Maadhimisho
hayo kitaifa yamefanyika katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na
kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: