Posted by
khamisimussa77@gmail.com
at
9:03 PM
Rais
Barrack Obama na wanawe Sasha na Malia. Afisa mmoja wa chama cha
Republican amewakosoa mavazi yao.Watoto wa rais wa Marekani Barrack
Obama, Sasha na Malia wameshtumiwa kwa kukosa heshima na afisa mmoja wa
chama cha Republican baada ya kuhudhuria sherehe za kutoa shukrani.
Elizabeth Lauten ,ambaye ni mkurugenzi wa mawasiliano wa mbunge
Stephen Fincher alitoa matamshi yake katika mtandao wa facebook ambayo
baadaye yalifutwa.
Aliku akikosoa sketi fupi zilizovaliwa na wasichana hao wa Obama.Bi
Lauteni pia aliwashtumu wasichana hao kwa kuonyesha uchovu wakati
waliposimama na baba yao katika sherehe hiyo ya ikulu ya Whitehouse.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: