Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Anna Makinda Amelazimika Kuliahirisha Bunge Asubuhi Kwa mara ya Pili mara baada ya Kuliahirisha Saa tatu Asubuhi Hadi saa Kumi Jioni .
Hali hiyo Imetokana na Mazungumzo yanayoendelea kwajili ya Wabunge Kuridhiana Maendekezo ya Kamati ya PAC yaliyokuwa yanataka Baadhi ya Viongozi Kuwajibika.Hali iliyosababisha Bunge hilo kutokuelewana la Kulazimika Kuhairishwa jana Saa nne Usik
0 comments: