NAWATAKIA SIKUKUU NJEMA

  Nawatakia nyote kheri ya Sikukuu ya Eid Al Adha. Ikawe siku njema kwetu sote yenye amani, umoja na upendo kwa jirani, ndugu, jamaa, marafiki na wote wenye kuhitaji ukarimu wetu. 

Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema na baraka azipokee Dua zetu, atusamehe makosa yetu, aendelee kutushika mkono na kutuongoza katika mema, kweli, haki na weledi katika kumtumikia yeye na wenzetu. 

Eid-al-Adha Mubarak.

0 comments: