MKURUGENZI WILAYA YA MULEBA AKABIDHIWA ZAWADI MAALUM NA NA BENKI YA NMB.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila akikabidhiwa zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya NMB na Meneja Lukanga Makusu (kushoto) wa Tawi la NMB Muleba
 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya Muleba Ndugu Elias Mhwago Kayandabila (katikati) akiwa kwenye mazungumzo na Viongozi wa benki ya NMB  tawi la Muleba mara baada ya kukabidhiwa  zawadi maalum iliyoandaliwa na benki ya hiyo.

0 comments: