JK, CONDOLEEZZA RICE NA BILL GATES KUPAMBA SHEREHE ZA MIAKA 20 YA PEPFAR HUKO MAREKANI LEO
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:46 AM
BMH, BOMBO KUENDESHA KAMBI YA HUDUMA MBALIMBALI ZA KIBINGWA JIJINI TANGA
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 6:32 AMMKUTANO WA KWANZA SHAMBULIO LA MOYO WAFUNGWA JIJINI DAR ES SALAAM
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 5:03 AMNaibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimpa cheti cha kutambua umuhimu wake katika kutoa huduma za matibabu ya moyo Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Prof. William Mahalu wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimpa cheti cha kutambua umuhimu wake katika kutoa huduma za matibabu ya moyo Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Dkt. Peter Kisenge wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Dkt. Seif Shakalaghe akimsikiliza Afisa Mauzo kutoka kampuni ya usambazaji wa dawa ya SUN PHARMA Innocent Maro lipotembelea kuona huduma zinazotolewa na kampuni hiyo wakati wa kufunga mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Khuzeima Khanbhai akipokea cheti cha kushiriki kuandaa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo ulioandaliwa na Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) Engerasia Kifai akipokea cheti cha kushiriki kuandaa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo ulioandaliwa na Taasisi hiyo na kumalizika jana jijini Dar es Salaam
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya kusambaza vifaa tiba ya Computech Limited Sandip Datta akipokea cheti cha kutambua mchango wake katika kushirikiana na JKCI kufanikisha mkutano wa kwanza wa shambulio ya moyo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Dkt. Seif Shakalaghe wakati wa kufunga mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.
Daktari bingwa wa magonjwa ya moyo wa Taasisi ya MOI. Dkt. Reuben Mutagaywa akipokea cheti cha kushiriki wakati wa kufunga mkutano wa Shambulio la moyo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa mkutano wa kwanza wa shambulio la moyo wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa wakati wa mkutano kabla ya kufunga mkutano huo uliofanyika katika Hoteli ya Ledger Plaza jijini Dar es Salaam. (PICHA NA KHAMISI MUSSA NA JKCI)
TUJITOKEZE KUPIMA VIPIMO MAGONJWA YA MOYO KATIKA TAASISI YA JKCI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 3:57 AMRAIA WA BURUNDI APATATUZO YA MUHANDISI MWEUSI BORA MWAKA WA 2023
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:14 PMMapema wiki hii, mkurugenzi mtendaji wa kampuni ya Boeing Stanley Deal aliandika kwenye Facebook “Hongera George Ndayizeye kwa kupata tuzo ya Walt W. Braithwaite Legacy Award” kwa mchango wako mkubwa wa kiufundi.
Ndayizeye mwenye umri wa miaka 41, mzawa wa mkoa wa kusini mwa Burundi wa Makamba, ni muhandisi kwenye kampuni ya Boeing, anayehusika na kuchunguza namna ndege zinavyotengenezwa.
Akizungumza na Idhaa ya Kirundi na Kinyarwanda ya Sauti ya Amerika Jumatano, alisema ‘nilipokea kwa fura kubwa tuzo hiyo.’
“Nilipata tuzo hiyo kutokana na ubunifu mpya na mchango mkubwa wa kiufundi kwenye utengenezaji wa ndege”, alisema.
Ndayizeye amesema alichangia katika utengenezaji wa ndege aina ya Boeing 787 na Boeing 777-9 na ndege nyingine itakayombeba Rais wa Marekani.
BEI ZA MAZAO ZIMEONGEZEKA, MAPATO YA SERIKALI YAMEPAA- WRRB
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 10:29 PM Mkurugenzi Mtendaji wa BODI ya usimamizi wa Stakabadhi za ghala (WRRB) Asangye Bangu akizungumza ,wakati akielezea utekelezaji wa shughuli mbalimbali za bodi hiyo mbele ya waandishi wa habari leo Februari 15,2023,jijini Dodoma.
Na Mwandishi wetu, Dodoma
Bodi ya Usimamizi wa Stakabadhi za Ghala (WRRB) imetaja mafanikio lukuki tangu kuanzishwa kwa Mfumo wa Stakabadhi za Ghalani ikiwemo ongezeko la bei za mazao, mapato ya mkulima na mapato ya Serikali kwa wastani wa asilimia 200% kutokana na urasimishaji, ongezeko la uzalishaji wa mazao kwa wastani wa asilimia 12% kwa mwaka,kichecheo cha ubora wa mazao yanayofikishwa sokoni,
0 comments: