MABASI YA MWENDOKASI YAENDELEA KUKUMBWA NA CHANGAMOTO ZA WAKIUKAJI SHERIA ZA USALAMA BARABARANI

 Changamoto za utii wa sheria barabarani hususan kwenye mfumo wa mabasi yaendayo kazi UDART jijini Dar es Salaam, umeendelea kuyakumba mabasi hayo ya kazi ambapo ikiwa ni chini ya masaa 24 yangu mpanda bodaboda kuingilia njia za mabasi hayo na kuelekea ajali iliyosababisha kifo cha mtoto, Leo tena pale Magomeni Mwembechai, pametokea tena ajali ambapo sehemu ya mbele upande wa kushoto NCHINI, basi hilo limeathirika kutokana na ajali hiyo kama ambavyo inavyoonekana pichani lakini safari hii basi hilo limegongana na Gari aina ya Toyota.

0 comments: