Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais, Dkt. John Pombe Magufuli leo
hii Januari 6, 2016, amekutana na Rais mstaafu wa awamu ya nne,
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Ikulu jijini Dar es Salaam, ambapo walifanya
mazungumzo. (Picha na Ikulu)
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Awamu ya nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kumaliza mazungumzo Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



0 comments: