
Tottenham, ambao walishiriki Mashindano haya kutoka hatua ya Makundi, wamepangiwa Klabu ya Serie A Fiorentina wakati Liverpool, ambao pia walikuwemo Makundi ya EUROPA LIGI, watacheza na Klabu ya Germany Augsburg.
Valencia ya Spain, ambayo ipo chini ya Mchezaji wa zamani wa Man United Gary Neville, watacheza na Rapid Vienna ya Austria wakati mtanange mkali wa Raundi hii ni ule wa Borussia Dortmund na FC Porto.(VICTOR)
Raundi ya Timu 32-Mechi ya Pili: 25 Februari
Raundi ya Timu 16-Droo: 26 Februari, Nyon
Raundi ya Timu 16-Mechi ya Kwanza: 10 Machi
Raundi ya Timu 16-Mechi ya Pili: 17 Machi
Robo Fainali-Droo: 18 Machi, Nyon
Robo Fainali-Mechi ya Kwanza: 7 Aprili
Robo Fainali-Mechi ya Pili: 14 Aprili
Nusu Fainali-Droo: 15 Aprili
Nusu Fainali-Mechi ya Kwanza: 28 Aprili
Nusu Fainali-Mechi ya Pili: 5 Mei
Fainali: 18 Mei, St. Jakob-Park, Basel, Uswisi
0 comments: