WILLIUM LUKUVI AKIZUNGUMZA NA WADAU KUHUSU MPANGO WA UENDELEZAJI WA MJI MPYA KIGAMBONI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 4:08 AM
Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Willium Lukuvi akisisitiza jambo wakati wa
mkutano na wadau kuhusu mpango wa uendelezaji wa mji mpya wa Kigamboni,
Dar es Salaam. Kulia kwake ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Bw. Meck
Sadiki. Sehemu ya wadau hao ni pamoja na viongozi wa taasisi za
Serikali, mashirika yasiyo ya Kiserikali (NGO’s), madhehebu mbalimbali
ya dini na taasisi za elimu na ulinzi na huduma mbalimbali zilizopo
katika eneo hilo la Kigamboni.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na
Maendeleo ya Makazi Mhe. Angellah Kairuki akizungumza katika mkutano na
wadau kuhusu mpango wa uendelezaji wa mji mpya wa Kigamboni, Dar es
Salaam.
Kaimu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Dk. Sellasie Mayunga akizungumza jambo wakati wa mkutano huo.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke Bibi Sophia Mjema akizungumza wakati wa mkutano huo.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya
Makazi Mhe. Willium Lukuvi pamoja na Naibu wake Mhe. Angellah Kairuki
wakimsikiliza mmoja wa wadau Bw. Nyaronyo Kicheere nje ya ukumbi wa
mkutano
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: