Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu na Diwani wa Viti Maalum wa Temeke, Mariam Mtemvu wakitia saini kwenye vitabu vya wageni katika ofisi hizo
Mtemvu akiwa na wafuasi wa CCM wakielekea kwenye mkutano wa hadhara katika Kata ya Vituka
Mtemvu akisalimiana na wananchi
Mtemvu, Mariam Mtemvu na Mwenyekiti wa UWT Kata ya Vituka, Suzana Mdete wakiwapungia mikono wananchi
Baadhi ya wafuasi wa CCM wakiwa katika mkutano huo
Wananchi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mbunge wa Jimbo la Temeke, Mtemvu
Msaidizi Mkuu wa Mbunge wa Temeke, Ally Mehalla akitambulishwa kwa wananchi wakati wa mkutano huo.
Timu ya soka wakiwa katika mkkutano huo
Mtemvu akitoa zawadi kwa msanii Haassn Mapenje aliyekuwa akitumbuiza kwa sarakasi katika mkutano huo
Msanii Hassan Mkenjula akifanya mambo yake katika mkutano huo
Mbunge akimpongeza msanii Hassan Mkenjula
Mtemvu akisalimiana na mmoja wa wananchama wa CCM
Mdete akifungua mkutano huo wa hadhara
Mwanachama wa Chadema Husna Dole akishangilia kwa furaha baada ya kukabidhi kadi ya chama hicho na kutangaza kujiunga na CCM katika mkutano huo
Husna akikabidhi kadi kwa Mtemvu
Mtemvu akimvisha fulana ya CCM Husna
| Mtemvu akimkabidhi kadi ya CCM Husna |
0 comments: