Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam , Abbas Mtemvu, akiwaombea Dua viongozi hao katika uchaguzi wa mwezi wa 12, wachague viongozi waweze kuhakikisha wanapata viongozi wazuri ili CCM iweze kufanya vizuri(kusho ni) Katibu Wazazi Wilaya, Selemani Ndende,anaye fatia ni, Mwenyekiti wazazi Wilaya ya Temeke, Sophia Kinega na wa kwanza kulia ni Mwenyekiti Wazazi Jimbo la Temeke Sudi Mliro
MBUNGE WA JIMBO LA TEMEKE AZINDUA MATAWI 3 YA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM)
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 3:20 AM
Katibu wazazi Jimbo la Temeke, Tukae Kondo, akitambulisha baaadhi ya viongozi wa Jumuiya Wazazi na Serekari ya Mtaa baada ya kufanya ziara ndani ya Kata 13, katika hafla fupi ya kuhamasisha viongozi hao kukabiliana na Uchaguzi ujao na Daftari la Wapiga kura yakiwemo na Maoni ya katiba , Dar es Salaa jana.(PICHA NA KHAMISI MUSSA) Mmiliki wa Blog ya UJIJI RAHAA.
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge Mkoa wa Dar es Salaa, Abbas Mtemvu (kulia) akipiga makofi mara alipo wasili katika hafla ya Viongozi wa Chama Cha mapinduzi (CCM) ambapo katika hafla hiyo yalifunguliwa matawi mbalimbali 3 na wanacha chama 40 walijiunga na chama hicho . kushoto ni Mwenyekiti wazazi Wilaya ya Temeke, Sophia Kinega.
Wanachama ambao ni Niongozi wa Chama hicho
Viongozi wa Chama hicho wakipunga mikono walipo tambulishwa.
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam , Abbas Mtemvu (wa katikati), akiwapungia mkono wanachama hao mara alipo tambulishwa katika hafla fupi ya viongozi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya ziara ya kuhamasisha viongozi wa Jumuiya ya Wazaizi katika uchaguzi wa Serekari za Mtaa kujitokeza kwa wingi na kujiandikisha kwenye Daftari la Kupiga Kura na maoni ya katiba.kushoto ni Mwenyekiti wazazi Wilaya ya Temeke, Sophia Kinega na kulia ni Mwenyekiti Wazazi Jimbo la Temeke Sudi Mliro.
Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge wa
Mkoa wa Dar es Salaam , Abbas Mtemvu (wa katikati), akiwa makini kumskiliza Mwenyekiti Wazazi Jimbo la Temeke Sudi Mliro (kulia), alipokuwa akifunguwa hafla fupi ya viongozi wa
Chama cha Mapinduzi (CCM) baada ya ziara ya kuhamasisha viongozi wa
Jumuiya ya Wazaizi katika uchaguzi wa Serekari za Mtaa kujitokeza kwa
wingi na kujiandikisha kwenye Daftari la Kupiga Kura na maoni ya katiba.kushoto ni Mwenyekiti wazazi Wilaya ya Temeke, Sophia Kinega. Mbunge wa Jimbo la Temeke na Mwenyekiti wa Wabunge wa Mkoa wa Dar es Salaam , Abbas Mtemvu, akiwaombea Dua viongozi hao katika uchaguzi wa mwezi wa 12, wachague viongozi waweze kuhakikisha wanapata viongozi wazuri ili CCM iweze kufanya vizuri(kusho ni) Katibu Wazazi Wilaya, Selemani Ndende,anaye fatia ni, Mwenyekiti wazazi Wilaya ya Temeke, Sophia Kinega na wa kwanza kulia ni Mwenyekiti Wazazi Jimbo la Temeke Sudi Mliro
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: