MAADHIMISHO YA SIKU YA WAUGUZI TANNA YAFANA MOI LEO DAR ES SALAAM.
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 8:02 AM
Wauguzi wa Tawi laTanna Moi wakiadhimisha siku y a wauguzi Duniani kwa Maandamano Leo .(PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)Mmiliki wa blog ya www.ujijirahaa.
Wauguzi wa Tawi laTanna Moi wakiadhimisha siku y a wauguzi Duniani kwa Maandamano Leo
Furaha na nderemo leo kwa wauguzi, kuadhimisha siku y a wauguzi Duniani kwa Maandamano Leo kwa kumkumbuka mwanzilishi wa Taaluma ya Uuguzi Bi Flurence Nightingale.
Baadhi ya Viongozi wa Taasisi ya Mifupa Moi wakiwa tayari kwa kupokea Maandamano ya wauguzi leo ta kumkumbuka mwanzikishi wa Taakuma ya Uuguzi Bi Flurence Nightingale
Mkurugenzi Huduma za Uuguzi Taasisi ya Mifupa na Mishipa ya Fahamu na Upasuaji wa Ubongo (MOI) akiwaongoza wauguzi wa Taasisi hiyo katika Maadhimisho ya siku ya Wauguzi Iliyofanyika Dar es Salaam jana katika Taasisi hiyo
Wakila kiapo cha Uuguzi
Wauguzi wakila kiapo leo katika Ukumbi wa Taasisi ya Moi
Ni sehemu ya MC akionyesha kipaji chake kazini Pia ni Muuguzi wa Taasisi hiyo
Nisehemu ya kupata kiburudisho cha kinywa
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: