HAFLA YA KUMUAGA ABUBAKAR MWILIMA UKUMBI WA POLICE OFFCER'S MESS OYSTERBAY DAR ES SALAAM.

 Ukumbi
 Mwenyekiti wa Hafla ya kumuaga Abubakari Mwilima Fatuma Mmari(kulia)akiwa na wageni
 keki Ilio andaliwa katika Hafla ya Mwilima
 Mama wa Mwilima Hellen Mwilima(wapili kulia) Akiwa na Akina mama wenzake alipo kua Akiingia Ukumbini
 Bibi wa Abubakar Mwilima Fedha Rashidi Akiomba Dua kwa ufunguzi wa Hafla fupi ya kumuaga
 MC Akiongoza Hafla Hiyo ya kumuaga  Abubakar Mwilima katika Ukumbi wa Police Officer's Mess Oysterbay .
 Mwenyekiti Fatuma Mmari (wa nne kushoto) wa kamati ya Hafla ya kumuaga  Abubakar Mwilima katika picha ya pamoja  na kamati ya maandalizi katika   Ukumbi wa Police Officer's Mess Oysterbay
 Mama Mzazi  wa Abubakar Mwilima, Hellen Mwilima  Akiongea na wageni waalikwa katika Hafla ya mtoto wake
 Familia Ikienda kutoa zawadi kwa mama wa Mwilima
  Mwenyekiti Fatuma Mmari wa kamati ya Hafla ya kumuaga  Abubakar Mwilima  akimtunza  mama wa Mwilima katika Ukumbi wa Police Officer's Mess Oysterbay
 Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa Akiongea machache katika Hafla ya Mtoto wa kaka yake kwakuwashukuru mama wa Abubakar na baba yake kwamalezi Alioyapata Alipokua shuleni  
 Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa Akiongeakwakuyakumbuka ya mazuri alio tendewa na mama wa Abubakari alipokua akijianda kumpa zawadi
  Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa Akiongeakwakuyakumbuka  mazuri alio tendewa na mama wa Abubakari alipokua akijianda kumpa zawadi.
 Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa akimtunza mama wa Mwilima
 Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa akimtunza mama wa Mwilima
 Mkuu wa Mkoa Tabora Fatuma Mwasa katika picha na mama wa Abubakari Mwilima
 Mama wa Abubakari katika picha ya Pamoja na watoto alio walea kupitia kwa mama wa Abubakari Mwilima
 Mc na kamati yake wakitoa zawadi ya Mbuzi na pesa kwa mama wa Mwilima
 Mc na kamati yake wakitoa zawadi ya Mbuzi na pesa kwa mama wa Mwilima
 Mama mdogo na kamati yake wakimtunza mama wa Mwilima
 Watoto walio lelewa na mama wa Mwilima wakitoa zawadi zao
 picha ya pamoja ya watoto walio lelewa na mama wa Mwilima



 Akitoa Shukurani kwa Wote walio fika Ukumbini 







Akiwapungia mikono wageni waalikwa Baada ya Kuwasili katika Ukumbi wa Police Officer's Mess Oysterbay(PICHA NA KHAMISI MUSSA,mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com)0713/0757-481158.

0 comments: