

Waasi wa M23 wakekuwa wakihangaisha wananchi Mashariki mwa DRC tangu Machi mwaka 2012
Dalili za kukaribia kushindwa
kwa waasi wa M23 nchini DRC, ni ishara ya mabadiliko ya kisiasa na
mpangilio wa kijeshi ambayo yanaweka wazi matumaini ya amani katika nchi
hiyo kubwa na ambayo imekuwa na migogoro kwa miaka mingi.
Waasi wa M23 Mashariki mwa nchi, wamepata pigo
kubwa katika wiki chache zilizopita , na kulazimisha kiongozi wao
Bertrand Bisimwa kutoa amri ya kusitisha vita na kutaka mazungumzo ya
amani kuanza tena nchini Uganda
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: