UFOO SARO AFANYIWA UPASUAJI WA KUONDOLEWA RISASI MWILINI
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 9:41 AM
Mwenyekiti wa IPP Regnald Mengi akihojiwa na wanahabari kuhusu tukio hilo
Wanahabari wakiwa hospitalini hapo
Muuguzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), akimpeleka wodini Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufo Saro, baada ya kufanyiwa upasuaji wa kuondolewa risasi kufuatia kushambuliwa kwa silaha ya moto nyumbani kwa mama yake Kibamba jijini Dar es Salaam leo na mtu aliyedaiwa ni mchumba wake ambaye pia alimuua mama yake na kisha kujiua.
Wanahabari wakiwa nje ya Jengo la Kibasila hospitali ya Taifa Muhimbili PICHA NA KHAMISI MUSSA.mmiliki wa (www.ujijirahaa.blogspot.com)
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
A,a. hongera sana kaka, kazi nzuri nimeipenda, Allah akurudhuku zaid uendelee kufanya vema zaidi na kwa ufanisi wa hali ya juu katika kazi zako.
ReplyDelete