Mwandishi wa habari wa Kituo cha ITV na Redio One, Ufoo Saro, hadi sasa bado yupo katika Chumba cha Dharula katika Hospitali ya Muhimbili, akiendelea kupatiwa matibabu kufuatia tukio la kupigwa risasi na mtu anayedaiwa kuwa Mchumba wake alfajiri ya leo huko maeneo ya Kibamba, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam.
Kamanda Suleiman Kova, akizungumza na waandishi wa habari wakati akiwa eneo la Hospitali ya Muhimbili leo mchana alipofika kujua kinachoendelea juu ya tukio hilo na maendeleo ya mgonjwa.
Baadhi ya waandishi wa habari waliofika Hospitalini hapo leo kwa ajili ya kujaribu kumuona, lakini haikuwezekana kuruhusiwa kutokana na mgonjwa huyo kuendelea na matibabu katika chumba cha dharula.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wa Redio One na ITV, wakiwa Hospitalini hapo wakisubiri kumuona mgonjwa.
Pia waandishi wa habari kutoka vyombo tofauti walikuwapo hospitalini hapo.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wa Redio One na ITV, wakiwa Hospitalini hapo wakisubiri kumuona mgonjwa.
Baadhi ya wafanyakazi wenzake wa Redio One na ITV, wakiwa Hospitalini hapo wakisubiri kumuona mgonjwa.
Wengine walianza kukata tamaa wakianza kutawanyika angalau kutafuta chochote...
Wapigapicha nao walipozi katika anlge ya peke yao wakivizia kunasa picha ya mgonjwa huyo wakati akitolewa katika chumba cha Dharula.
Kama Windo la Chui.........
0 comments: