MWILI WA MAMAKE UFOO SARO UKITOLEWA MUHIMBILI KWENDA KUAGWA KIBAMBA



 Jeneza lenye mwili wa mamake mzazi wa Mwandishi wa Habari wa Kituo cha Televisheni cha ITV, Ufoo Saro, marehemu Anastazia Peter Saro likiwekwa kwenye gari leo katika Hospitali ya Muhimbili, Dar es Salaam ukipelekwa kwake Kibamba kuagwa tayari kusafirishwa kwa maziko nyumbani kwao Arusha.Ufoo na mamake walipigwa risasi na mpenzi wake Ufoo kitendo ambacho kilisababisha mauti kwa mama huyo na ufoo kujeruhiwa tumbo.( PICHA NA  KHAMISI MUSSA,mmiliki wa www.ujijirahaa.blogspot.com)




0 comments: