Latest Articles

PAC YARIDHISHWA NA MAENDELEO YA MIRADI NELSON MANDELA

  Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mhe.Japhet Hasunga akizungumza wakati wa kikao mara baada ya kutembelea na kukagua mradi wa ujenzi wa mabweni ya wanafunzi ( Hosteli) unaotekelezwa na Taasisi ya Afrika […]

read more

WAZIRI MKUU AAGIZA KITUO CHA AFYA MAMA NGOMA KUPANDISHWA HADHI.

  […]

read more

WAZIRI MHAGAMA AWASILISHA UJUMBE MAALUM WA RAIS SAMIA KWA RAIS CHAKWERA WA MALAWI

  Waziri wa Afya Mhe. Jenista Mhagama leo Machi 26, 2025 amewasilisha ujumbe maalum wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Malawi Mhe. Lazarus Chakwera  katika Ikulu ya Rais […]

read more

MAKAMU WA RAIS DKT. MPANGO MGENI RASMI UZINDUZI WA MWENGE

  Waziri wa Nchi  Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi na Vijana,Ajira na Wenye Ulemavu Ridhiwani Kikwete (MB)  pichani  leo alipotembelea Uwanja wa Shirika la Elimu Kibaha  Mkoani  Pwani  na kuridhishwa na maandalizi  yaliyofikia kwa asilimia 95Na Khadija Kalili Michuzi TVMAKAMU […]

read more

KITUO KIPYA CHA AFYA CHA CURE SPECIALIZED POLYCLINIC CHAZINDULIWA JIJINI DAR ES SALAAM.

Baadhi ya Waalikwa wakiwa kwenye uzinduzi wa Kituo hicho. Dk. Hamisa Iddy Khamis akitoa utangulizi na utambulisho wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.  Mkurugenzi wa Tiba na mtaalam wa utoaji huduma za Lishe Dr. Rehema Mzimbiri akizungumza na baadhi ya Waalikwa […]

read more

WAZIRI WA HABARI. UTAMADUNI, SANAA NA MICHEZO, MHE. PROF. PALAMAGAMBA KABUDI LEO AJITAMBULISHA KWA WADAU WA SEKTA YA HABARI NA UTANGAZAJI

  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Prof. Palamagamba Kabudi .akizungumza wakati alipokuwa akijitambulisha kwa Wadau wa Sekta ya Habari na Utangazaji leo  Desemba 18, 2024 katika ukumbi wa Kimataifa wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam. (PICHA […]

read more

MAKAMU WA PILI WA RAIS ZANZIBAR, MHE. ABDULLA AFUNGUA MKUTANO MKUU WA 17 WA IIA

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mhe. Hemed Suleiman Abdulla (kulia) akipokea tuzo kutoka kwa Rais wa Taasisi ya Wakaguzi wa Ndani nchini Tanzania (IIA) CPA, Dkt. Zelia Njeza (wa pili kushoto) mara baada ya kufungua Mkutano Mkuu […]

read more