NAIBU WAZIRI KANGI LUGOLA, ATEMBELEA NEMC JIJINI DAR ES SALAAM


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) Dkt Vedast Makota wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo Oktoba 19, 2017. jijini Dar es Salaam.


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akipata maelekezo toka kwa mtaalamu wa maabara wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati wa ziara ya kikazi ya  Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.


Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (hawapo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya  Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.



Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati wa ziara ya kikazi ya  Naibu Waziri huyo katika baraza hilo


Baadhi ya watumishi Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakimsikiliza Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (hayupo pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya  Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira(NEMC)  Dkt Vedast Makota (kulia) akifafanua jambo kwa Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) wakati alipokutana na Menejimenti ya baraza hilo akiwa katika ziara ya kikazi mapema hii leo jijini Dar es Salaam.


Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC)  Dkt Vedast Makota (kulia) akizungumza na watumishi baraza hilo wakati wa ziara ya kikazi ya  Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) mapeme hii leo jijini Dar es Salaam.

0 comments: