NAIBU WAZIRI KANGI LUGOLA, ATEMBELEA NEMC JIJINI DAR ES SALAAM
Posted by khamisimussa77@gmail.com at 1:14 PM
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola
(kushoto) akiteta jambo na Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la
Mazingira (NEMC) Dkt Vedast Makota wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri
huyo katika baraza hilo mapeme hii leo Oktoba 19, 2017. jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola
(kushoto) akipata maelekezo toka kwa mtaalamu wa maabara wa Baraza la Taifa la
Mazingira (NEMC) wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme
hii leo jijini Dar es Salaam.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola
(kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (hawapo
pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya
Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es
Salaam.
Naibu
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola
(kushoto) akizungumza na watumishi wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakati
wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri huyo
katika baraza hilo
Baadhi
ya watumishi Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) wakimsikiliza Naibu Waziri wa
Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi Lugola (hayupo
pichani) wakati wa ziara ya kikazi ya
Naibu Waziri huyo katika baraza hilo mapeme hii leo jijini Dar es
Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira(NEMC) Dkt Vedast Makota (kulia) akifafanua jambo kwa
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Kangi
Lugola (kushoto) wakati alipokutana na Menejimenti ya baraza hilo akiwa katika
ziara ya kikazi mapema hii leo jijini Dar es Salaam.
Kaimu
Mkurugenzi Mkuu wa Baraza la Taifa la Mazingira (NEMC) Dkt Vedast Makota (kulia) akizungumza na
watumishi baraza hilo wakati wa ziara ya kikazi ya Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,
Muungano na Mazingira Kangi Lugola (kushoto) mapeme hii leo jijini Dar es
Salaam.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
0 comments: